1 Timothy 4:4-5
4 aKwa maana kila kitu alichokiumba Mungu ni chema, wala hakuna kitu chochote cha kukataliwa kama kikipokewa kwa shukrani, 5 bkwa sababu kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba. Mtumishi Mwema Wa Isa Al-Masihi
Copyright information for
SwhKC